Uchaguzi wa Kenya: TikTok na upotoshaji

Uchaguzi wa Kenya: TikTok na upotoshaji

TikTok ni mojawapo ya majukwaa maarufu ya mitandao ya kijamii miongoni mwa wapiga kura vijana lakini jukumu lake katika kinyang'anyiro cha urais nchini Kenya linakwenda bila kuchunguzwa.

Mwandishi wa BBC Elizabeth Kazibure anaangazia jinsi inavyofanya kazi katika malumbano ya kisiasa kati ya wagombeaji wakuu wa urais.

Kamera: Anthony Irungu

Uhariri: Suniti Singh

Video iliyotayarishwa na BBC Monitoring na BBC Africa