Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
'Kufundishwa kuogopa': Adhabu ya viboko shuleni Kenya
'Kufundishwa kuogopa': Adhabu ya viboko shuleni Kenya
Adhabu ya viboko katika shule za Kenya ilipigwa marufuku zaidi ya miaka 20 iliyopita.
Lakini uchunguzi wa BBC umegundua kuwa walimu wa shule wanawapiga wanafunzi wao kila siku. Na matokeo yanaweza kuwa mauti.
Tom Odula wa Africa Eye anaripoti.