Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Watanzania wamepokeaje agizo la kupeleka 10% ya kodi ya upangaji TRA ?
Watanzania wamepokeaje agizo la kupeleka 10% ya kodi ya upangaji TRA ?
Baadhi ya wananchi jijini Dar es salaam wameonesha hisia zao juu ya kodi ya zuio ya ambayo iko chini ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).
Euginia Mkumbo , Afisa Mkuu Usimamizi wa Kodi (Principal Tax Management Officer) Ambaye pia ni Afisa Huduma na Elimu kwa Mlipakodi kanda ya Kaskazini amefafanua..
Kwa mujibu wa TRA, kila mpangaji anapaswa kukata asilimia kumi ya kodi yake ya pango na kuwasilisha TRA.
Mwandishi wa BBC @frankmavura amefanya mazungumzo na baadhi ya wananchi hao jijini Dar es Salaam.