Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Teknolojia ya magari ya umeme inavyotumika kuimarisha utalii Tanzania
Teknolojia ya magari ya umeme inavyotumika kuimarisha utalii Tanzania
Teknolojia ya magari yasiyotumia mafuta huenda sasa yakapunguza uchafuzi wa mazingira pamoja na kupunguza kelele kwa wanyamapori pale watalii wanapotembelea hifadhi mbalimbali.
Magari kadhaa yanayohudumia watalii nchini Tanzania kwa sasa yanatumia umeme na hivyo kupunguza gharama za uendeshaji lakini pia kuwapa urahisi watalii kuona na kuvisikia vivutio mbalimbali hifadhini kwa urahisi.
Mwandishi wa BBC, Lasteck Mushi ametuandalia taarifa hii kutoka Arusha, Kaskazini mwa Tanzania.
Video: Eagan Sala