Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Kwa nini mataifa yenye nguvu duniani 'yanaipigania' Afrika?
Kwa nini mataifa yenye nguvu duniani 'yanaipigania' Afrika?
Maafisa wakuu kutoka Marekani, China, Urusi na Uturuki wametembelea nchi 14 za Afrika mwezi Januari pekee.
Msururu wa ziara hizo unachagizwa na uzito wa kidiplomasia wa bara hilo kufuatia uvamizi wa Urusi nchini Ukraine miongoni mwa mambo mengine.
Beverly Ochieng anaeleza.