Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Taifa stars dhidi ya Morocco Afcon: ‘Tumejiandaa vizuri’ - Mbwana Samatta
Taifa stars dhidi ya Morocco Afcon: ‘Tumejiandaa vizuri’ - Mbwana Samatta
Kuelekea mchezo wa Tanzania na Morocco hii leo Jumatano utakao pigwa saa 2 usiku kwa saa za Afrika Mashariki, nahodha wa Timu ya Taifa stars ya Tanzania Mbwana Samatta na kocha Adel Adel Amrouche wameelezea jinsi kikosi kilivyojiandaa kushuka dimbani
Mwandishi wa BBC @frankmavura aliyeko nchini Ivory Coast ametuandalia taarifa hii.