Taifa stars dhidi ya Morocco Afcon: ‘Tumejiandaa vizuri’ - Mbwana Samatta

Maelezo ya video, Afcon 2024: Mbwana Samatta na Adel Adel Amrouche wasema Taifa stars wamejiandaa vizuri kuk
Taifa stars dhidi ya Morocco Afcon: ‘Tumejiandaa vizuri’ - Mbwana Samatta
w

Chanzo cha picha, CAF

Maelezo ya picha, Nahodha wa Taifa stars Tanzania Mbwana Samatta

Kuelekea mchezo wa Tanzania na Morocco hii leo Jumatano utakao pigwa saa 2 usiku kwa saa za Afrika Mashariki, nahodha wa Timu ya Taifa stars ya Tanzania Mbwana Samatta na kocha Adel Adel Amrouche wameelezea jinsi kikosi kilivyojiandaa kushuka dimbani

Mwandishi wa BBC @frankmavura aliyeko nchini Ivory Coast ametuandalia taarifa hii.