Taifa stars dhidi ya Morocco Afcon: ‘Tumejiandaa vizuri’ - Mbwana Samatta
Taifa stars dhidi ya Morocco Afcon: ‘Tumejiandaa vizuri’ - Mbwana Samatta

Chanzo cha picha, CAF
Kuelekea mchezo wa Tanzania na Morocco hii leo Jumatano utakao pigwa saa 2 usiku kwa saa za Afrika Mashariki, nahodha wa Timu ya Taifa stars ya Tanzania Mbwana Samatta na kocha Adel Adel Amrouche wameelezea jinsi kikosi kilivyojiandaa kushuka dimbani
Mwandishi wa BBC @frankmavura aliyeko nchini Ivory Coast ametuandalia taarifa hii.



