Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Mzozo wa DRC: Je, chimbuko la vita vya mashariki mwa Congo ni nini?
Mzozo wa DRC: Je, chimbuko la vita vya mashariki mwa Congo ni nini?
Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) kumeshuhudiwa mzozo na ukosefu wa utulivu kwa muda usiokuwa chini ya miongo mitatu.
Hata hivyo katika muongo mmoja uliopita mapigano makali yamezuka mara kwa mara.
Je, machafuko haya yalianzaje?, M23 wanahusika vipi na kwanini Rwanda inatajwa?
Mwandishi wa BBC anaelezea zaidi.