Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Uchaguzi wa Kenya 2022: Hakuna atakayesalimika katika vita dhidi ya ufisadi
Uchaguzi wa Kenya 2022: Hakuna atakayesalimika katika vita dhidi ya ufisadi
Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya Raila Odinga anasema hakuna mtu atakayesalimika katika kampeni ya kupambana na ufisadi ambayo anaahidi kuitekeleza ikiwa atachaguliwa kuwa rais katika uchaguzi wa mwezi ujao.
Mwandishi wa BBC Anne Soy amezungumza naye kuhusu mapungufu yaliyopo katika vita dhidi ya ufisadi.