Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
'Kwangu mimi, uongozi hauna jinsia' asema mgombea uchaguzi Kenya
'Kwangu mimi, uongozi hauna jinsia' asema mgombea uchaguzi Kenya
Kwamboka Kibagendi ndiye mtu wa kwanza anayejulikana kuwa jinsia mbili (tofauti) nchini Kenya kuwania wadhifa wa kisiasa.
Kijana huyo mwenye umri wa miaka 34 anawania kiti cha bunge la kaunti Nairobi kwa tiketi ya chama kikubwa cha kisiasa.
Video: Anthony Irungu na Mildred Wanyonyi