BBC News, Swahili - Habari
Habari Kuu
Moja kwa moja, Iran yajibu pendekezo la Marekani la kusitisha vita kupitia Pakistan
Iran inasema imetuma majibu yake kwa "pendekezo la hivi punde la Marekani la kusitisha vita" kupitia Pakistan
Putin aishutumu NATO wakati wa sherehe za gwaride la kijeshi
Rais wa Urusi Vladimir Putin alitumia sherehe za kila mwaka za Siku ya Ushindi nchini mwake kuhalalisha vita vyake dhidi ya Ukraine na kushutumu NATO, katika hotuba yake aliyoitoa kwenye bustani ya Red Square katikati mwa jiji la Moscow.
Kuondoa 30% ya uume wangu, kuliokoa maisha yangu
Aliahirisha kwenda hospitali kwa takriban wiki sita, ila alipomuona daktari wa familia, aliambiwa huenda ni saratani.
Je, vita vya Iran viliimarisha vipi Ukraine?
Hatua hiyo itasaidia kuimarisha ushirikiano wa kimataifa na pia kuwa na faida za kibiashara. Kyiv ina matumaini kuwa hatua hii itasababisha mikataba zaidi ya ulinzi na washirika matajiri wa Marekani.
Je, vita vya moja kwa moja kati ya Uturuki na Israel vinaweza kuzuka?
Uhusiano wa Uturuki na Israel umezorota katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita kutoka katika hatua ambayo ilikuwa inakaribia kuimarika kidiplomasia hadi kufikia hatua ambapo uwezekano wa makabiliano ya moja kwa moja ya kijeshi unaongezeka.
Kwanini Kylian Mbappé anachukiwa Real Madrid?
Ubora wake si wakuhojiwa, Mbappe ni mmoja ya wachezaji bora wa kizazi cha sasa, lakini hatma yake iko kwenye mizani. Mashabiki wanapiga kura kutaka aondoke Real Madrid
Uingereza yapeleka meli ya kivita Mashariki ya Kati kwa ajili ya operesheni katika Mlango bahari wa Hormuz
Meli hiyo ya kivita, HMS Dragon, ambayo ni aina ya Type 45 destroyer, itawekwa tayari katika eneo hilo kabla ya jukumu lake katika operesheni ambayo Wizara ya Ulinzi ya Uingereza imeeleza kuwa ni “ya kujihami pekee na ya kujitegemea.”
Chapisho katika mtandao wa kijamii linaweza kusababisha kufungwa jela au kupokonywa uraia katika mataifa ya Ghuba
Mamlaka za mataifa hayo, zimezuia kukata rufaa kwa yeyote atakayepatikana na hatia, na hata kuwanyanganya uraia wao.
Je, Trump amesitisha mpango wa kupeleka makombora nchini Ujerumani?
Bado haijajulikana ni wanajeshi wangapi kati ya takriban 40,000 wa Marekani walioko Ujerumani ambao Trump atawaondoa, au kama ataachana kabisa na mpango wa kupeleka makombora ya masafa marefu nchini Ujerumani.
Vita vya Iran vilichangiaje kukamatwa mmoja wa wahalifu wakubwa wanaotafutwa Ulaya?
Historia ya familia ya Kinahan na uhusiano wao na biashara ya dawa za kulevya inaanza katika miaka ya 1980, wakati Christopher Kinahan, baba yake Daniel, alihusika kwa kiasi kikubwa katika biashara hiyo.
Tetesi za soka Jumamosi: Real Madrid wanafanya mazungumzo kuhusu kumrudisha José Mourinho
Real Madrid wako katika mazungumzo na wakala wa José Mourinho kuhusu uwezekano wa kumteua kuwa kocha mkuu mpya wa timu hiyo.
Marekani yasubiri jibu la Iran kuhusu mapendekezo ya kusitisha mapigano - Rubio
Kauli hiyo imejiri baada ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, kusema kila jitihada za kutafuta suluhisho la kidiplomasia zinapofanywa, Marekani huchagua njia ya operesheni za kijeshi zinazoleta hatari kubwa zaidi.
Sikiza / Tazama
Unataka kupunguza gharama za data?
Soma mtandao wetu wa maandishi kwa gharama ndogo za data.
Gumzo mitandaoni
Iran na Marekani kwenye vita yenye washindi wawili
Ikiwa Tehran itaendelea kudumisha ushawishi wake wa kikanda na kuzuia kusitishwa kabisa kwa mpango wake wa nyuklia, Iran itajiona kuwa mshindi.
Je, kiwanda cha kusafisha mafuta Tanga ni ndoto inayowezekana?
Pendekezo la ujenzi wa kiwanda kikubwa cha kusafisha mafuta huko Tanga, Tanzania limeibua mjadala mpana wa kisiasa na kiuchumi Afrika Mashariki, likifufua upya hoja ya utegemezi wa mafuta kutoka nje.
Zijue nchi 7 ndogo zaidi duniani
Hapa ni orodha ya nchi 7 ndogo duniani ambazo nchi hizi kwa moja moja unaweza kuitembelea karibu yote ndani ya siku moja ama kwa saa chache.
Mwanaume aliyetangazwa kufa na kuzikwa arudi nyumbani baada ya siku moja
Mwili ulipelekwa kwenye chumba cha kuhifadhia maiti cha Hospitali ya Masindi, ambapo matangazo yalitolewa kwa watu wenye watu waliopotea ili kusaidia katika utambuzi.
Baada ya ripoti ya Jaji Chande njia tatu zitakazoamua mustakabali wa Tanzania
Tanzania ina njia tatu za kuchagua kuhusu mustakabali wake, kufuatia ripoti ya Jaji Chande. BBC imezichambua njia hizo na kile kinachofuata Tanzania baada ya ripoti hiyo ya matukio ya Oktoba 29, 2025
Glasi moja ya bia inaweza kuimarisha afya ya ubongo na kuongeza vitamini mwilini - utafiti
Kulingana na utafiti, lita moja ya bia inaweza kuwa na kati ya miligramu 0.3 hadi 1 ya vitamini B6.
Nani hufanya maamuzi nchini Iran?
Donald Trump ameutaja uongozi wa Iran kuwa "umegawanyika" na kusema Marekani inasubiri Tehran kuwasilisha "pendekezo la umoja".
Ukimya wa Al Qaeda juu ya vita vya Iran, Marekani na Israel una maana gani?
Baada ya mashambulizi ya 9/11, viongozi wengi muhimu wa Al-Qaeda na familia zao walikimbia Afghanistan na Pakistan na kwenda Iran.
Kwanini Afrika inataka ramani mpya ya dunia?
Togo inapania kuwahimiza mataifa wanachama wa Umoja wa Mataifa, kuja na ramani ambayo inaelezea ukubwa halisi wa bara Afrika na kutupilia mbali ramani ya Mercator.
Tume ya uchunguzi yasema watu 518 walifariki dunia wakati wa ghasia za uchaguzi Tanzania
Tume imesema idadi hyo inaweza kuwa kubwa zaidi kwani Tume inasema kuwa kuna uwezekano kuwa baadhi ya familia zimezika wapendwa wao bila kuwafikisha katika vituo vya kutolea huduma ya afya au hawakupata fursa ya kuja mbele ya tume.
Maswali muhimu kuhusu ripoti ya Oktoba 29 yanayohitaji majibu
Maswali kadhaa muhimu yanaendelea kujitokeza miongoni mwa wananchi na wadau nchini Tanzania yakilenga si tu kuelewa yanayozunguka kilichotokea Oktoba 29, bali pia kilichoripotiwa na tume na mustakabali wa kesho
BBC News Swahili sasa ipo WhatsApp
Vipindi vya Redio
Listen Next, Amka Na BBC, 05:59, 11 Mei 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Dira Ya Dunia, 18:29, 8 Mei 2026, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 06:59, 8 Mei 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 05:59, 8 Mei 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Dira ya Dunia TV
Kipindi cha habari motomoto, kinachowaweka watazamaji karibu zaidi na yanayojiri duniani






























































