Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Farah Khaleck: Mwanamke nchini Kenya anayeugua ugonjwa adimu na usiotibika scleroderma
Farah Khaleck anaugua ugonjwa wa scleroderma unaofanya ngozi na viungo kuwa vigumu kutokana na kujikaza. Anaitumia hali yake kuwapa watu motisha na kujikubali jinsi walivyo.
Video: Anne Okumu/ Anthony Irungu