Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Tumaini: Mshairi wa miaka 9 Tanzania anayetaka watoto wajiamini
Tumaini, mtoto wa miaka 9 Tanzania aliye na ndoto na msamiati mkubwa.
Mshairi huyo mdogo alisambaa katika mitandao ya kijamii baada ya kuandika shairi lake kuhusu rais Julius Kambarage Nyerere. Ameielezea BBC kwamba anataka kuwa mfano kwa watoto wengine kupitia ushairi wake.