Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Mikoko inavyoimarisha maisha pwani ya Kenya
Kongamano la kwanza duniani la uchumi wa maji linafanyika mjini Nairobi Kenya. Maelfu ya wajumbe wanakutana kuzungumzia namna ya kunufaika kutokana na raslimali za bahari, mito na ziwa bila ya kuziharibu. Katika kijiji cha Gazi pwani ya Kenya, jamii hii imejuwa namna ya kunufaika kwa kilimo cha mikoko.
Mpiga picha: Kenneth Mungai