Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Richard Turere amevumbua mwanga unaowafukuza simba Kenya
Richard Turere mwenye umri wa miaka 18 sio mchungaji wa wanyama wa kawaida kutoka jamii ya Maasai . Akiwa na miaka 11, alivumbua mbinu ya aina yake ya kuwafukuza simba wasiwaua ng'ombe na mbuzi wa familia yake Kenya. Walikuwa wakiwapoteza mifugo 9 kwa wiki.
Hii ni sehemu ya makala ya BBC kuhusu uvumbuzi iliyofadhiliwa na wakfu wa Bill na Melinda Gates