Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Djokovic apigwa marufuku kuendelea kushiriki mchuano wa US Open
Nyota namba moja duniani wa Tenis, Novak Djokovic amebanduliwa kwenye michuano ya US Open raundi ya nne, baada ya kumtwaga na mpira wa tenis kwa bahati mbaya refa wa pembeni. Djokovic alikuwa anapigiwa chapuo kutwaa ubingwa wa michuano hiyo.