Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Harriet Agasiu ni mwalimu anaeuza barabarani Uganda
Janga la corona pamoja na masharti yaliowekwa ya kutotoka nje nchini Uganda yamefanya shule nyingi na biashara kufungwa ili kudhibiti maradhi hayo.Mtazame Harriet Agasiu, mwalimu anaeuza mahindi barabarani akielezea changamoto zake za kimaisha kwenye tovuti ya BBC.