Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
West Mathewson: Mhifadhi wa wanyama afariki baada ya kushambuliwa na simba anaowahifadhi Afrika Kusini
Mhifadhi wanyama maarufu nchini afrika kusini ameuwawa baada ya kushambuliwa na simba wawili weupe aliok uwa akiwatembeza. Mke wa West Mathewson, aliekuwa ndani ya gari akiwafuata, alijaribu kuwazuia simba hao lakini hakufanikiwa.umewahi kushuhudia kisa sawia na hiki eneo lako ?sema nasi