Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
JT Head Avunja rekodi ya dunia kwa kupanda puto iliokwenda juu futi 300
Mtizame JT Head mtoto wa miaka minane kwenye tovuti ya BBC ,kutoka Georgia Marekani akivunja rekodi ya dunia kwa kuwa mtoto wa kwanza kupanda puto ama Hot Air Ballon peke yake, iliokwenda umbali wa futi 300.