Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Muigizaji atishiwa maisha yake kwa sababu ya kudansi
Nermine Sfar muigizaji kutoka nchini Tunisia amesema amepokea vitisho dhidi ya maisha yake kutoka kwa kundi la jihadi baada ya kuanza kupeperusha video za moja kwa moja akicheza kwenye mtandao wa Facebook kwa madhumuni ya kuwatumbuiza watu waliofungiwa manyumbani kufwatia janga la Corona.