Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Mchezaji Kylie Walker Kuadhibiwa na Manchester City
Kyle Walker anakabiliwa na hatua za kinidhamu kutoka Manchester City baada ya kuripotiwa kuvunja sheria za kujifungia na badala yake kuweka sherehe iliyowahusisha wafanyikazi wawili wa ngono. Walker, ameomba msamaha na kuwasihi watu "wakae nyumbani, wakae salama" wakati huu wa janga la coronavirus.