Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Kipchoge aelezea ugumu wa kufanya mazoezi
Bingwa wa michezo ya Olimpiki nchini Kenya Eliud Kipchoge anajaribu kufanya mazoezi wakati huu wakutotangamana na watu . Janga la Corona limesababisha kambi ya mazoezi kufungwa. licha ya michezo ya Olimpiki kuahirishwa bado anahakikisha atakuwa imara mwaka ujao. Mtizame akieleza ilivyo vigumu kufanya mazoezi peke yako.