Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Bob atimiza miaka 112
Bob Weighton, ambaye ndio mkongwe mwenye umri mkubwa zaidi duniani ametimiza miaka 112 hii leo. Alizaliwa mwaka wa 1908, akiwa na miaka sawa na klabu ya soka ya Inter Milan.
Je unamjua mtu yeyote katika eneo lako aliye na umri mkubwa hivi?..sema nasi