Kipchoge aelezea ugumu wa kufanya mazoezi

Maelezo ya sauti, Kipchoge aelezea ugumu wa kufanya mazoezi

Bingwa wa michezo ya Olimpiki nchini Kenya Eliud Kipchoge anajaribu kufanya mazoezi wakati huu wakutotangamana na watu . Janga la Corona limesababisha kambi ya mazoezi kufungwa. licha ya michezo ya Olimpiki kuahirishwa bado anahakikisha atakuwa imara mwaka ujao. Mtizame akieleza ilivyo vigumu kufanya mazoezi peke yako.