Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Eminem ashtumiwa kwa wimbo wake mpya
Wapinzani wakuu wa mwanamuziki Eminem The Courteeners wanaamini Rapa huyo "alivuka mpaka" kwa kurejelea shambulio la bomu la Manchester kwenye wimbo wake mpya wa Unaccomodating. Wengi Wamemkosoa Eminem akiwemo Meya wa Manchester Andy Burnham, kwa aya hiyo ambayo wameitaja kama “ya kuumiza" .