Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Sheria ya kiapo cha siri yaondolewa ili kuleta uwazi
Papa Francis ameondoa sharia ya zamani inayowapa usiri wanaotubu makosa ya unyanyasaji wa kingono katika jitihada ya kujaribu kuongeza uwazi katika kesi aina hiyo. Hapo awali kanisa liliona umuhimu wa kuweka swala hilo siri katika kile ilichosema ni juhudi za kulinda waathirika.