Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Mhadhiri katika chuo kikuu cha Abuja amefutwa kazi
Chuo kikuu cha Abuja huko Nigeria kimemfuta kazi mhadhiri mmoja kufuatia madai kutoka kwa mwanafunzi mmoja wa kike kuwa alimnyanyasa kingono. Mwanafunzi huyo anasema kuwa mhadhiri huyo alimtaka wafanye tendo la ngono kisha ampe alama za juu katika mtihani. Je, vyuo vikuu vinaweza kuchukua hatua zipi kumaliza unyanyasaji wa kijinsia?