Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Yanga mbioni kuandikisha historia
Yanga mbioni kuandikisha historia
Jumapili hii, timu ya Yanga ya Tanzania itashuka dimbani katika fainali mkondo wa kwanza ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika dhidi ya USM Alger kutoka Algeria.
Mchezo huo unatarajiwa kupigwa jijini Dar es Salaam, huku ule wa marudiano ukipigwa Juni 3 jijini Algiers.
Timu hiyo inaendelea na mazoezi huku hamasa ikiwa ni kubwa.
Mwandishi wa BBC, Alfred Lasteck ametuandalia taarifa hii kutoka jijini Dar es Salaam.
Video: Eagan Salla