Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Mwanaanga wa kwanza wa kike Afrika kwenda anga za juu
Mwanaanga wa kwanza wa kike Afrika kwenda anga za juu
Mnamo 2022, Sara Sabry, Mmisri, alikua mwanamke wa kwanza Mwafrika (na mwanamke wa kwanza Mwarabu) kwenda anga za juu.
Alipokuwa mdogo, mwanaanga huyo mwenye umri wa miaka 31 na mhandisi angefikiria wazo la kwenda angani ni ndoto.
Anasimulia BBC jinsi alivyokiuka vizuizi na uwezekano wa wanawake kufika alipofika.