Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Burundi: Waathiriwa wa mafuriko wazungumza
Burundi: Waathiriwa wa mafuriko wazungumza
Yamekua ni maisha ya shida kwa Bi Nizigiyimana Shadi muathiriwa wa mafuruko katika mji wa Gatumba nchini Burundi.
Bi Nizigiyimana ni mmoja wa wakazi wanaoishi katika makazi ya muda baada ya wenzake kuhamishwa katika maeneo salama.
Mafuriko katika eneo hili yamekuwa yakitokea mara kwa mara kutokana na mto Rusizi kuvunja kingo zake na kupanda Kwa viwango vya maji katika Ziwa Tanganyika.
Aliielezea BBC masaibu aliyonayo kutokana na athari za mafuriko hayo.
Video: Egan Salla
Ripota: Dinnah Gahamanyi