Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Yoga imepata umaarufu mkubwa Zanzibar wakati wa mwezi Mtukufu wa Ramadhan
Yoga imekuwa ikipata umaarufu mkubwa Visiwani Zanzibar wakati wa mwezi Mtukufu wa Ramadhan.
Aida Suleiman ni mkufunzi wa yoga Zanzibar - anaamini kufanya mazoezi ya yoga mwezi huu sio tu kutasaidia kuufanya mwili kuwa na shughuli nyingi za kimwili bali pia kuboresha umakini wa kutafakari.
Mwandishi wa BBC Esther Namuhisa ametuandalia taarifa ifuatayo:
Video:Eagan Salla