BBC News, Swahili - Habari
Habari Kuu
Moja kwa moja, Trump atangaza kuiwekea Iran vikwazo vikali vya kiuchumi
Shinikizo hili jipya la kulenga zaidi uchumi wa Iran linakuja wakati vita vya Iran vikielekea kutimiza miezi sita bila ya juhudi zozote madhubuti za kidiplomasia wala kijeshi.
Mkuu wa Ujasusi Ecuador, Wamarekani 5 wafariki kwa ajali ya helikopta Kenya
Mamlaka ya Usafiri wa Anga ya Kenya (KCAA) ilisema kuwa helikopta hiyo ilikuwa katika safari ya kutalii mandhari.
"Falcon Strike Force" ni nini, na kwa nini Marekani 'inahaha' kukiimarisha?
Marekani inapanua matumizi ya droni za mashambulizi Mashariki ya Kati. Lakini “Falcon Strike Force” ni nini, na kwa nini Washington inatafuta washirika wa kikanda kujiunga na mpango huo?
Tetesi za Soka Ulaya Alhamisi: Gabriel Jesus hana mpango wa kuhamia Napoli
Manchester City kumenyana na majirani zao Manchester United kumsajili Manu Kone, huku Aston Villa ikionyesha nia ya kumsajili Tosin Adarabioyo na Tottenham ikiwa katika mazungumzo kuhusu wachezaji wawili wa Man City.
Tuko tayari kukabiliana na tishio lolote kutoka Iran - NATO
Kauli hiyo imetolewa na afisa wa NATO akijibu ripoti ya gazeti la Financial Times kwamba Iran inaweza kushambulia vituo vya kijeshi vya Marekani barani Ulaya iwapo Rais Donald Trump ataongeza mashambulizi dhidi yake.
VAR, kupoteza muda na uingizaji wa wachezaji wa akiba - Sheria mpya kwa msimu mpya
Msimu wa 2026-27 utashuhudia idadi kubwa ya sheria mpya, ambazo nyingi zinalenga kushughulikia suala la kuvurugwa kwa kasi ya mchezo na kuufanya mchezo huo uwe wa kasi zaidi.
Serikali Tanzania yasitisha leseni ya gazeti la MwanaHALISI kwa miezi sita
Kabla ya uamuzi huo, uongozi wa MwanaHALISI ulipewa fursa ya kujieleza katika kikao kilichofanyika Agosti 7 katika ofisi za Maelezo, Dar es Salaam.
Elon Musk ataka kujenga jiji mwezini, ndoto yake inawezekana?
Hivi karibuni, Elon Musk alitangaza mpango wa kujenga mji kwenye Mwezi; alisema kuwa mpango huo unaweza kutekelezwa ndani ya muda usiozidi muongo mmoja na kwamba mji huo utakuwa na uwezo wa kukua na kuendelea kwa kujitegemea.
Iran na Marekani kuingia awamu mpya ya vita?
Iran na Marekani zimeingia katika hatua mpya ya mvutano, huku makubaliano yakikwama na vita vya kiuchumi vikiongezeka. Nani atalegeza kamba?
Kwa nini baadhi ya wanafunzi wa vyuo hugeuza mahusiano kuwa biashara?
Baadhi ya wanafunzi wa vyuo vikuu wanaweza kujikuta wakitumia mahusiano kama njia ya kujipatia fedha, hali ambayo inaweza kuwaweka katika mazingira yenye changamoto za kiafya, kiakili na kijamii.
Nani anafadhili magenge ya wahuni kuchochea ghasia za kisiasa Kenya?
Polisi nchini Kenya wamewakamata watu 37 wanaoshukiwa kuhusika na ghasia za kisiasa, baada ya kukutwa na silaha mbalimbali katika kaunti za Kisumu na Homa Bay. Ni nani yuko nyuma ya makundi haya ya vijana?
Kazungu: Kada wa CCM azungumza na BBC alivyotekwa na kuteswa
Kazungu alitekwa tarehe 04 Agosti akiwa nyumbani kwake akijiandaa kuoga, ambapo watekaji walimchukua kwa nguvu, kumuingiza katika gari aina ya Land Cruizer na kuzunguka naye kwa masaa mengi, kwa mwendo wa kasi huku akiwa amefungwa kitambaa cheusi usoni na pingu mikononi.
Unataka kupunguza gharama za data?
Soma mtandao wetu wa maandishi kwa gharama ndogo za data.
Gumzo mitandaoni
Mji unaomtengenezea Trump makombora
Mkazi mmoja anasema kuwa katika eneo la Kingsport, Tennessee, lililoko katika ukanda wa milima ya Appalachian, kuna makanisa mengi kiasi kwamba inaonekana kana kwamba kuna kanisa katika kila barabara.
Uchaguzi Kenya 2027: Uchaguzi unaoanza mwaka mmoja kabla ya kura
Mchambuzi wa masuala ya siasa nchini Kenya Augustine Omondo akielezea kuhusu siasa za kenya amesema ''Uchaguzi wa Kenya si tukio la siku moja, ni mchakato mkubwa unaohitaji maandalizi ya teknolojia, usalama, mawasiliano, usafirishaji na maelfu ya maafisa''.
Ndege 5 za kivita zenye kasi zaidi
Wakati wa vita vya Iran/Iraq katika miaka ya 1980, inaaminika kwamba ndege za kivita za Iran aina ya F-14 zilisababisha vifo vya takriban watu 150 katika mapigano ya angani.
Kwa nini Tanzania inawashirikisha majaji wa nje kuchunguza ghasia za Oktoba 29?
Vyama vya upinzani nchini Namibia, na CHADEMA cha Tanzania vimepinga uwepo wa majaji wa nje, kwa mantiki mbalimbali ikiwmeo uhuru wa kimahakama Namibia na hofu ya kutopatikana ukweli kwa Tanzania.
WARIDI WA BBC: 'Nina miaka 23 na nywele zangu zinanyonyoka'
Tatizo la kung'oka au kunyoyoka nywele linakadiriwa kuwaathiri watu milioni 160 duniani kote.
Tishio la Iran lashinikiza Trump kufichwa katika lori la chakula
Vyombo vya habari vya Marekani vinaripoti kuwa Donald Trump alibadilisha ndege kwa siri wakati akiondoka kwenye mkutano wa kilele wa NATO nchini Uturuki mwezi uliopita, kutokana na tishio linalowezekana kutoka Iran
Viumbe 10 vyenye sura mbaya zaidi duniani
Watu wengi huvutiwa na wanyama wenye sura kama za watoto - fikiria macho makubwa, pua ndogo, nyuso za mviringo. Ni kwa sababu tunawajali watoto wetu.
Je, Tanzania inaweza kufikia maridhiano ya kisiasa bila CHADEMA na Lissu?
Historia ya Tanzania inaonesha baadhi ya hatua kubwa za maridhiano ya kisiasa zilihitaji serikali na vyama vikuu vya upinzani kukaa meza moja.
Kwa nini baadhi ya wanaume huongeza sehemu zao za siri?
Wanaume waliofanyiwa utaratibu huo wanaweza kutarajia ongezeko la unene wa asilimia 10 hadi 20 kwa miezi sita hadi tisa ijayo – lakini mambo yanaweza kwenda mrama.
Wadudu ambao ni tunu ya maarifa iliyofichwa katika ulimwengu wa asili
Kuanzia mende hadi nzi, kuna mengi tunayoweza kujifunza kutokana na mienendo yao kuhusu jinsi ya kufanya maamuzi bora.
Roboti zinaweza kuwa wanajeshi wa vita vijavyo?
Hawana hofu, hawachoki na hawahitaji kuwa na binadamu pembeni yao. Roboti hawa wanaingia vitani na kubadilisha namna mapigano yanavyofanyika.
Miji 10 yenye idadi kubwa zaidi ya watu duniani mwaka wa 2026
Kadiri idadi ya watu duniani inavyozidi kuongezeka, miji inageuka kuwa vitovu vya maendeleo ya kiuchumi, kielimu, na kijamii.
BBC News Swahili sasa ipo WhatsApp
Vipindi vya Redio
Listen Next, Dira Ya Dunia, 18:29, 20 Agosti 2026, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 06:59, 20 Agosti 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 05:59, 20 Agosti 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Dira Ya Dunia, 18:29, 19 Agosti 2026, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Dira ya Dunia TV
Kipindi cha habari motomoto, kinachowaweka watazamaji karibu zaidi na yanayojiri duniani























































