Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Africa Eye: Unyanyasaji majumbani wakati wa janga la corona Kenya
Wakati janga la Covid-19 lilipotokea, ripoti za unyanyasaji wa nyumbani zilienea ulimwenguni kote. Nchini Kenya, kumekuwa na ongezeko kubwa la vitendo hivyo - na wanaharakati wanasema wengi hawaripotiwi kamwe. Tom Odula anaripoti kutoka Nairobi, kwa timu ya BBC ya uchunguzi wa Africa Eye… na onyo, baadhi ya watazamaji wanaweza kupata ripoti yake kuwa ya kufadhaisha.