Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Wapanda miti ya matunda makaburini ili kutunza mazingira
Familia ya marehemu Leonard Massawe inaendeleza ndoto yake ya kupanda miti ya matunda makabarini ili kutunza mazingira
Mwanaharakati huyo wa mazingira alihamasisha upandaji miti maeneo mbalimbali mkoani Kilimanjaro na aliamini watu wakiendelea kujenga makaburi kama wengi wanavyofanya sasa watamaliza mashamba yao.
Mwandishi wa BBC Yusuph Mazimu alizingumza na mke wake alipomtembelea nyumbani kwake kijiji cha kifuni mkoani Kilimanjaro