Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Ubunifu wa mpira wa miguu wa wachezaji wanne Msalatu huko Dodoma
Je umewahi kuwaza timu ya mchezo wa mpira wa miguu ikiwa na wachezaji wanne pekee tofauti na kumi na moja kama tulivyozoea? Mtanzania mmoja amebuni mchezo wa mpira ambao sheria zake ni tofauti kabisa na ule mpira tuliouzoea.
Aboubakar Famau, amemtembelea mbunifu huyo Kijida Paul na kushuhudia jinsi mpira huo unavyochezwa huko mkoani Dodoma.