Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Uchaguzi Kenya 2022: Je, ni utaratibu gani utakaotumika wakati wa kupiga kura?
Wapiga kura nchini kenya wanatarajia kuwachagua viongozi wao tarehe tisa mwezi Agosti mwaka huu.
Je, ni utaratibu gani utakaotumika wakati wa kupiga kura?
Paula odek anatueleza zaidi.