Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
'Tulipata habari mtu aliyekuwa anawania urais Marekani alikuwa amezaliwa Kenya'
Huku Idhaa ya BBC Swahili ikiidhimisha miaka 65 ya kuwepo hewani, Muliro Telewa ambaye pia anafikisha miaka 65 mwaka huu, ameifanyia kazi Idhaa ya BBC kwa miaka 25 kabla ya kustaafu.
Mwanahabari wetu @judith_wambare alimtembelea kwake nyumbani mjini Eldoret katika kaunti ya Uasin Gishu nchini Kenya na kutuandalia filamu hii.