Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
'Niliuona mwili wa mwanangu kwenye Facebook': Kuteswa na kuuawa na wanajeshi wa Myanmar
Joseph anaomboleza kifo cha mwanawe.
Baada ya wanajeshi wa Myanmar kuingia kijijini kwake, alikimbilia msituni lakini Pali Nang mwenye umri wa miaka 13 hakufanikiwa.
Joseph aliona picha ya maiti ya mwanawe kwenye mtandao wa Facebook ambapo ilionyesha dalili za kuteswa.
Yeye ni mmoja wa takriban wakimbizi 40,000 wa Myanmar ambao wamevuka mpaka na kuingia India.