Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Ngorongoro:Iikuaje hadi suala Ngorongoro likafikia hapa?
Mgogoro wa Ngorongoro nchini Tanzania umetikisa vichwa vya Habari kwa miezi kadhaa nchini humo, mjadala mkubwa ukiwa ni suala la kuhamishwa kwa jamii ya wamasai eneo la hifadhi kutokana na idadi ya watu kuongeza kwa kiasi kikubwa.
Serikali ya Tanzania tayari imeanza zoezi la kuwaondoa kwa hiari wale wote watakaomua kujiandika na kuondoka eneo la hifadhi na hadi sasa zaidi ya watu 400 wamejiandikisha.
Lakini ilikuaje hadi suala hili likafikia hapa?
Mwandishi wa BBC Alfred Lasteck alifika eneo hilo na kuandaa taarifa ifuatayo.