Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Lifahamu kabila la Tanzania linalothamini senene kuliko nyama
Senene ni wadudu jamii ya panzi na wanapewa heshima kubwa katika jamii ya wahaya waliopo, Kagera magharibi mwa Tanzania.
Kwa Mila na desturi za jamii hiyo Senene hutumika kama zawadi muhimu wakati wa taratibu za Ndoa.
Wadudu hawa wanapatikana pia katika maeneo mengine ya Afrika Mashariki kama Uganda na Rwanda.
Mwandishi wa BBC Munira Hussein alitembelea mkoani Kagera na kuandaa taarifa ifiatayo.