Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Virusi vya corona: Zanzibar yapinga kuwapa watu chanjo kisiri
Serikali Visiwani Zanzibar imekanusha taarifa kwamba wameanza kutoa chanjo dhidi ya virusi vya corona kimya kimya, Pamoja na kukanusha huko Waziri wa afya wa Zanzibar Nasor Ahmed Mazurui ameiambia BBC Mipango ya chanjo iliyopo mbali na uvumi huo.
Mwandishi wa BBC Leonard Mubali amezungumza naye na kwanza alimtaka azungumzie kuhusiana na taarifa zinazozagaa kwamba wameanza kutoa chanjo kimya kimya.