Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Waganda wamepokeleaje hukumu ya ICC dhidi Ongwen
Hatua ya Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa Jinai ICC kumhukumu Kiongozi wa zamani wa waasi wa Lord's Resistance Army LRA Dominic Ogwen miaka 25 imeendelea kujadiliwa nchini Uganda. Baadhi ya watu wanahoji hatua ya Ongwen kuhudumu kifungi chake nje ya nchi. Mwandishi wa BBC Issac Mumena amezungumza nao.