Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Kimbunga Jobo: Mamlaka ya hali ya hewa yatoa tahadhari ya kimbunga kikali Pwani ya Tanzani
Mkurugenzi wa mamlaka ya hali ya hewa Tanzania (TMA ) na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi anasema kuwa Kimbunga Jobo kwa sasa kipo kilomita 236 kutoka kisiwa Cha mafia Mkoa wa Pwani nchini Tanzania.