Kimbunga Jobo: Mamlaka ya hali ya hewa yatoa tahadhari ya kimbunga kikali Pwani ya Tanzani
Mkurugenzi wa mamlaka ya hali ya hewa Tanzania (TMA ) na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi anasema kuwa Kimbunga Jobo kwa sasa kipo kilomita 236 kutoka kisiwa Cha mafia Mkoa wa Pwani nchini Tanzania.