Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Jinsi nzige wanavyotumiwa kwa faida nchini Kenya
Nzige ni wadudu wanaoaminiwa kuwa waharibifu kutokana na jinsi wanavyoharibu mimea ya mazao mmbali mbali. Lakini nchini Kenya shirika moja lisilo la kiserikali (NGO) linatoa mafunzo kwa jamii ncini humo kuwakamata nzige, ili kuwageuza kuwa chaula cha wanyama.