Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Je ni kwanini ugonjwa wa uvimbe kwenye kizazi au Fibroids huwaathiri wanawake weusi?
Wanawake wengi Afrika wanasumbuka na uvimbe katika kizazi. Hali hii huwaathiri wanawake wakati wa uzazi kwa miaka mingi na husababisha maumivu makali sana.