Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Mgogoro wa Msumbiji: Jifahamishe kuhusu yale yanayoendelea nchini humo
Mwezi Novemba 2020, watu 50 walikatwa vichwa na wapiganaji wa Kijihad nchini Msumbiiji .
Zaidi ya watu 430,000 wamewachwa bila makao tangu 2017 wakati mgogoro huo ulipoanza katika eneo la kaskazini.
lakini tunauliza ni nini haswa kinachoendelea nchini humo?