Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Uteuzi wa Seif Sharif Hamad Zanzibar umepokewa vipi?
Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Mwinyi amemteua Mwenyekiti wa chama cha ACT-Wazalendo Seif Sharif Hamad kuwa Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar.
Katika gumzo tunajadili suala hili na mapokeo yake visiwani Zanzibar.
Awali Scolar Kisanga alizungumza na Said Msonga ambaye ni mchambuzi wa masuala ya siasa, Dkt Mzuri Issa Mkurugenzi wa chama cha waandishiwa habari wanawake Zanzibar ambaye pia ni mchambuzi wa siasa.
Anaanza kwa kuelezea hatua hii imepokelewaje visiwani humo.