Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Waziri wa mambo ya nje wa Tanzania Profesa Palamagamba Kabudi aipinga vikali ripoti ya UN
Tume ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa ilitoa taarifa juu ya haki za binadamu maeneo mbalimbali duniani na kuonesha wasiwasi wake juu ya hali ya Tanzania.
Waziri wa mambo ya nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi amesema kuwa tathimini iliyotolewa hailingani na uhalisia wa hali ilivyo Tanzania.
Mwandishi wa BBC, Caro Robi alizungumza naye.