Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Watu 8 wameteuliwa kuwania wadhfa wa mkurugenzi mpya wa Shirika la biashara Duniani WTO
Watu nane wameteuliwa na nchi zao kuwania wadhifa huo, kupitia mfumo wa mahojiano na uteuzi.
Watatu kati yao wanatoka barani Afrika. Unaweza kujiuliza kwanini wadhifa wa mkuu wa shirika la biashara la kimataifa, WTO ni muhimu? Mhariri wa kitengo cha Biashara cha BBC Afrika, Zawadi Mudibo alizungumza na Waafrika wanaowania nafasi hiyo.